Mkangwa kaniachia alama alinipiga fimbo ya kichwani kwa kumsaidia rafiki yangu mgonjwa sababu alihisi tunachochea vurugu nyingine baada ya watu kuchoma moto majengo, mgomo mkubwa kisa kifo cha Eugine mtoto wa Kalenga mwanafunzi wa o-level day scholar.
NOTE: Nilikuwa A-level.