dah ahsante mkuu mana maisha yalikua ni ka vitaPoleni sana.
kaka unamukumbuka jina lake ili tumtafute? hata mimi ilinitokea kaka, mpaka leo nimeapa nikikutana nae ni vita tu. mimi ilinitokea mwanza shule ya kinango kama miaka 16 iliyopita. but i still have a bad memory.
Kudadadeki hii kitu inanikumbusha machungu aisee kuna **** mmoja mwana wakati naanza F1 alikuwa alinipa wakati mgumu sana yule mshenzi. Jamaa alikuwa anavuta fegi kwa hiyo niliporipoti tu shule akaniwahi dogo lete masimbi ya msasa wakati huo hata hiyo misemo masimbi na msasa sijui ni kitu gani..bado nashangaa akanibonyeza bonge la kwenzi....ah! hii kitu mbaya kabisa. yaani f1 yote nilikuwa mhanga wa kum-supply msasa ( Sigara sports)....
Nkwenzi Puuu!!! Pole sana! Mie nakumbuka nilikuwa fomu one nikabishana na jamaa wa form IV yaani jamaa alinipiga kibao nikajikuta nipo chini tu, baadaye nikaamuka nikajipangusa na kuondoka!
Kudadadeki hii kitu inanikumbusha machungu aisee kuna **** mmoja mwana wakati naanza F1 alikuwa alinipa wakati mgumu sana yule mshenzi. Jamaa alikuwa anavuta fegi kwa hiyo niliporipoti tu shule akaniwahi dogo lete masimbi ya msasa wakati huo hata hiyo misemo masimbi na msasa sijui ni kitu gani..bado nashangaa akanibonyeza bonge la kwenzi....ah! hii kitu mbaya kabisa. yaani f1 yote nilikuwa mhanga wa kum-supply msasa ( Sigara sports)....
nakumbuka enzi hzo mnawakuta form 3 na 4 ndo wababe wa shule full utemi unatumwa kwenda kununua vitu vinvyozidi gharama ya hela unayopewa na kaka wa form 4. mfano anakupa sh 50 af anakwambia kaninunulie maandazi,sabuni ya kipande na ya unga,na chenji irudi daah