George, suala sio kusifia shuke hiyo ambayo nasikia ilikuwa makambi yawakimbizi. Kwanza toa details, ikiwezekana piga picha ya shule then tupia jamvini watu waione. Mimi ni mwangaza na nimezaliwa huko I know the place, usisifie sana, bali toa details za shule, ipo maeneo gani, last results, picha, n.k