Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,561
Nimezunguka sana natafuta kazi nimekosa,nilianza na vogezo stahili kulingana na elimu yangu sijaweza fanikiwa mpaka kazi zs kibarua nazo nakosa.
Nikiangalia maofisini nawakuta vijana wakike na wakiume wa umri wangu wapo mofisini.
Ndugu zangu nyinyi uwa mnapataje kazi?
Nikiangalia maofisini nawakuta vijana wakike na wakiume wa umri wangu wapo mofisini.
Ndugu zangu nyinyi uwa mnapataje kazi?