johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Najua kuna Watanzania wengi walijipanga kwenda Mjini mwake Daudi Bethlehem kusherehekea sikukuu ya Christmas.
Niwajulishe tu Serikali ya Israel imesema hakutakuwa na Sherehe hizo mwaka huu, yaani zimefutwa.
Chanzo cha Habari ni Al jazeera tv.
Labda mababa Askofu Gamanywa na Ngonyani Mnaweza kutufafanulia kama ni halali kufuta Sherehe za Mazazi ya mwokozi wetu Yesu Kristo?
Ahsanteni sana. 😄
Niwajulishe tu Serikali ya Israel imesema hakutakuwa na Sherehe hizo mwaka huu, yaani zimefutwa.
Chanzo cha Habari ni Al jazeera tv.
Labda mababa Askofu Gamanywa na Ngonyani Mnaweza kutufafanulia kama ni halali kufuta Sherehe za Mazazi ya mwokozi wetu Yesu Kristo?
Ahsanteni sana. 😄