Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Hongereni mliolipwa kipunguni
Mda ukifika na nyie mliobakia endeleen kumwamini Mungu
Kifupi tu kumezuka fomu za ajabu ajabu zikisambazwa na
Wajumbe mtoee 1.3mil kila anaelipwa
Naomba kuwajulisha msijibu huo upuuzi wala kujadiliana nao n utapeli cheni yake n ndefu kwa wajinga mtajaa kwa walioenda shule na hasa wazee waliobaki na watoto wasiojielewa.......
Ukiwaona. Piga namba za staki shari mda wowote
Kataa utapeli......
Sisi walileta hizo barua malipo ya kwanza na kutishia kutupeleka mahakaman baada ya siku saba hahahaa
Tukavunja nyumba toa vinavyotoka ondoa wapangaji wakapiga simu tukawambia kuna magofu ya tofali kaokote ni mkauzee
Hawajarudi tenaaaaa na tenaaa....
Mliobakiaa amkeni hizi channel n za wahuni wachache kuwadaka wajinga jingaaa
Ati wao ndio.walisaidia kuanza malipo ya serikali
Kon....too zaooo... watu wamwesotaa
Taa
mpaka dodoma...wao wanazoom
Wapambane na halizaooo
Aldbest
Mda ukifika na nyie mliobakia endeleen kumwamini Mungu
Kifupi tu kumezuka fomu za ajabu ajabu zikisambazwa na
Wajumbe mtoee 1.3mil kila anaelipwa
Naomba kuwajulisha msijibu huo upuuzi wala kujadiliana nao n utapeli cheni yake n ndefu kwa wajinga mtajaa kwa walioenda shule na hasa wazee waliobaki na watoto wasiojielewa.......
Ukiwaona. Piga namba za staki shari mda wowote
Kataa utapeli......
Sisi walileta hizo barua malipo ya kwanza na kutishia kutupeleka mahakaman baada ya siku saba hahahaa
Tukavunja nyumba toa vinavyotoka ondoa wapangaji wakapiga simu tukawambia kuna magofu ya tofali kaokote ni mkauzee
Hawajarudi tenaaaaa na tenaaa....
Mliobakiaa amkeni hizi channel n za wahuni wachache kuwadaka wajinga jingaaa
Ati wao ndio.walisaidia kuanza malipo ya serikali
Kon....too zaooo... watu wamwesotaa
Taa
mpaka dodoma...wao wanazoom
Wapambane na halizaooo
Aldbest