akilikubwa
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 590
- 108
Salaam wanajf
Najua kunawatu wengi walipangiwa programme na TCU ambazo hawakuzipenda,Ama walichagua programme priority kwa mategemeo ya kupata Mkopo ili wakifika chuoni kubadili programme waliyopangiwa na TCU chuoni..
swali ni je, kwa faida ya wanaJf wanaotegemea kudahiliwa kipindi hiki cha masomo 2015/2016 tunaomba mtuambie changamoto mlizokumbana nazo na uwezekano wa kubadili programme na athari zake kwenye bodi ya mikopo.
Nawasilisha.
Najua kunawatu wengi walipangiwa programme na TCU ambazo hawakuzipenda,Ama walichagua programme priority kwa mategemeo ya kupata Mkopo ili wakifika chuoni kubadili programme waliyopangiwa na TCU chuoni..
swali ni je, kwa faida ya wanaJf wanaotegemea kudahiliwa kipindi hiki cha masomo 2015/2016 tunaomba mtuambie changamoto mlizokumbana nazo na uwezekano wa kubadili programme na athari zake kwenye bodi ya mikopo.
Nawasilisha.