Mlio pita highland secondary school mpoo?

Mlio pita highland secondary school mpoo?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,685
Reaction score
14,069
Nina uhakika humu jf hawatakosekana waliopita skuli ya highlands hasa miaka ilee kuanzia sheikh.......choudry.......mpaka kimangale.........teh teh teh......
 
Nina uhakika humu jf hawatakosekana waliopita skuli ya highlands hasa miaka ilee kuanzia sheikh.......choudry.......mpaka kimangale.........teh teh teh......

Wewe umepita miaka ipi hapo Highlands, mimi nimepita wakati wa Choudry 1987 - 1990.
 
wewe umepita miaka ipi hapo highlands, mimi nimepita wakati wa choudry 1987 - 1990.

basi hapan shaka miaka hiyo utawakumbuka mwl.mwakangale -mtaalam wa geography,mrs sachu wa english,mwl umande physics,mwl.chalamila,mwl.musa mpambe wa choudry etc.....hebu tukumbushane mambo ya zamani hizo mfano wanafunzi waliovuma mfano bob reagan.............
 
basi hapan shaka miaka hiyo utawakumbuka mwl.mwakangale -mtaalam wa geography,mrs sachu wa english,mwl umande physics,mwl.chalamila,mwl.musa mpambe wa choudry etc.....hebu tukumbushane mambo ya zamani hizo mfano wanafunzi waliovuma mfano bob reagan.............

Umande amenifundisha Physics, Mdemu Maths, etc. Bob Reagan namkumbuka sana na nafikiri tulikua mwaka mmoja isipokua (streams) mikondo tofauti (kama unavyojua hii shule ilikua kubwa sana na nafikiri bado ni kubwa), sina uhakika kama alimaliza vizuri shule kwani alikua pasua kichwa sana. Wewe ulimaliza mwaka gani pale?
 
Mi nilikuwepo pale kuanzia mwaka 1996 naomba waliosoma kuanzia mwaka huo waje hapa haraka !!
 
Nimepita miaka ya 2002 mpaka 2005 enzi za uhuchu...mwalimu Wangu Wa kiingereza
 
umande amenifundisha physics, mdemu maths, etc. Bob reagan namkumbuka sana na nafikiri tulikua mwaka mmoja isipokua (steams) mikondo tofauti (kama unavyojua hii shule ilikua kubwa sana na nafikiri bado ni kubwa), sina uhakika kama alimaliza vizuri shule kwani alikua pasua kichwa sana. Wewe ulimaliza mwaka gani pale?

mie pale nimechomoka 1992...duh kweli mkuu umenikumbusha mbali sana mwl. Mdemu baada ya kumtaja ndo memory kibao zimerejea,huyu bob reagan mara ya mwisho nimekutana nae mitaa ya posta(dar) miaka ya 2000 katikati alirudishwa kutoka south akapokelewa segerea ,kwa sasa sijui alipo,..kwa kipindi hicho wacheza mpira kina yahaya mchata utawakumbuka,mechi kubwakubwa chuo cha kleruu.....sweet memory hebu kumbusha mambo mengine ya kipindi kile disco ruaha international etc.
 
mie pale nimechomoka 1992...duh kweli mkuu umenikumbusha mbali sana mwl. Mdemu baada ya kumtaja ndo memory kibao zimerejea,huyu bob reagan mara ya mwisho nimekutana nae mitaa ya posta(dar) miaka ya 2000 katikati alirudishwa kutoka south akapokelewa segerea ,kwa sasa sijui alipo,..kwa kipindi hicho wacheza mpira kina yahaya mchata utawakumbuka,mechi kubwakubwa chuo cha kleruu.....sweet memory hebu kumbusha mambo mengine ya kipindi kile disco ruaha international etc.

Kwa miaka hiyo uliyotaja nilikuacha hapo ukiwa F II. Huyo Bob Reagan ni sahihi kabisa kuinusa Segerea alikua ni mtu wa vurugu sana. Upande wa mpira namkumbuka sana Yahaya Mchata, nakumbuka kuna mechi moja ilifanyika uwanja wa Kleruu kati ya Highlands na Tosamaganga hadi askari wa FFU walikuwepo kuhakikisha usalama, hata hivyo mpira huo haukuisha, vurugu zilitokea zikapelekea askari kutawanya wanafunzi.
 
namkumbuka mwalimu uhuchu naule mguu wa kuchechemea alikua anagonga stick ni balaaa........kwenye physics umande kanifundisha alikua hajui kutumia bakora ye zake ukimuudhi ni mwendo wa konzi ahahahahaaha dah nimekumbuka mbali sana
 
Back
Top Bottom