Mlio na wapenzi udsm leo mnaumia

Mlio na wapenzi udsm leo mnaumia

Huu uzi umenisaidia sana kimaisha, hakika mshahara na cheo kazini kitapanda kwasababu ya huu uzi.
 
Huu uzi umenisaidia sana kimaisha, hakika mshahara na cheo kazini kitapanda kwasababu ya huu uzi.

Pambana mzee, everyman for his own, ukitegemea mtandao ukufeed kila kitu unachohitahi katika maisha utafeli...mambo mengine ni just for fun, hamna mtu yuko hapa ila upate mshahara ama cheo kazini kwako, ama kwenye term ulivyo agree ilikuambia hivyo?get a life
 
Pambana mzee, everyman for his own, ukitegemea mtandao ukufeed kila kitu unachohitahi katika maisha utafeli...mambo mengine ni just for fun, hamna mtu yuko hapa ila upate mshahara ama cheo kazini kwako, ama kwenye term ulivyo agree ilikuambia hivyo?get a life
Mwandiko kama kinana mwenye PhD
 
Nawasubiria baada ya miezi sita mtaani, kiulainiiiiiii kama nanawa
 
Huu uzi sio wa kitoto, ni pure facts kwa watu wenye wake zao na waume zao, na hata wanaosomesha wapenzi wao, niliouanzisha sio mtoto just a great thinker
Kubadili mlo japo mara moja si mbaya hasa ukizingatia kitu chenyewe hakiishi na mmiliki hujui lolote juu ya kinachoendelea. Japo ni kweli kuwa inauma ukijua. Kitu usichokijua kitakutesaje?
 
Ndo wameshagraduate au....?

Ila watoto wa chuo bhana majanga kweli aisee.

Nyumbani kuna chuo flani cha ualimu basi bwanaa wafanya biashara wa nyumbani wanaopoa watoto na kuwasomesha wakimaliza tu hawaagi wala nini unakuta mfanyabiashara analialia tu.
Unakuta mtu machoz yanamlengalenga tu
 
Pambana mzee, everyman for his own, ukitegemea mtandao ukufeed kila kitu unachohitahi katika maisha utafeli...mambo mengine ni just for fun, hamna mtu yuko hapa ila upate mshahara ama cheo kazini kwako, ama kwenye term ulivyo agree ilikuambia hivyo?get a life
Kupitia uzi tu wa jf ghafla kapanda cheo na mshahara ukaongezeka. Bangi hizi
 
Umieni tu huko mimi sijali na niko well off hapa napata per hour tzs 60,000.

Si mnalea mashetani magogoni? Mnashindwa hata kunya tu getini ikulu kuonyesha frastreshen zenu?

Kawaida wanachuo ndio huleta mabadiliko na mageuz nchini.

Who cares
Shida zako unazijua mwenyewe
0536f44ae56b8bc558498178134e357f--stay-humble-humble-pie.jpeg
 
Back
Top Bottom