It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Jana katika kipindi cha malumbano ya hoja ITV. Mjadala ulikua mzito sana na wakuvutia kutokana na kwamba takribani washiriki wote walijaribu kuonyesha hasira zao katika suala la TANESCO kuilipa DOWANS hukuikionekana dhahili kwamba kuna PALIWINAWI wanachezewa Watanzania.
katika mjadala ule washiriki mara kadhaa walijaribu kuihusisha storry ya malipo haya kama mlinzi kupanga na mwizi kumuibia mwenyenyumba.
katika filamu hii:MLINZI =Mwanasheria mkuu ,Wizara ya nishati na madini + TANESCO
MWIZI=DOWANS,RICHMOND
MALI INAYOIBIWA=94BIL
Wana Jf baada ya kuishtukia hii ishu tuanze na nani MLINZI au MWIZI?
Hoja ya kuandamana naiunga mkono 101% btut kwanini tuendelee kumuamini huyu mlinzi aendelee kutulindia mali yetu.
Nina washukuru sana wachangiaji walio changia katika majadala shukrani za dhati kwa ITV
Jana katika kipindi cha malumbano ya hoja ITV. Mjadala ulikua mzito sana na wakuvutia kutokana na kwamba takribani washiriki wote walijaribu kuonyesha hasira zao katika suala la TANESCO kuilipa DOWANS hukuikionekana dhahili kwamba kuna PALIWINAWI wanachezewa Watanzania.
katika mjadala ule washiriki mara kadhaa walijaribu kuihusisha storry ya malipo haya kama mlinzi kupanga na mwizi kumuibia mwenyenyumba.
katika filamu hii:MLINZI =Mwanasheria mkuu ,Wizara ya nishati na madini + TANESCO
MWIZI=DOWANS,RICHMOND
MALI INAYOIBIWA=94BIL
Wana Jf baada ya kuishtukia hii ishu tuanze na nani MLINZI au MWIZI?
Hoja ya kuandamana naiunga mkono 101% btut kwanini tuendelee kumuamini huyu mlinzi aendelee kutulindia mali yetu.
Nina washukuru sana wachangiaji walio changia katika majadala shukrani za dhati kwa ITV
Nafiri waTz lazima mjue kwa kila hali deni ni lazima lilipwe. Muandamane msiandamane ni lazima Tanesco ilipe deni kwani deni hilo lipi kisheria zaidi na sio kisiasa.
Ni vizuri mkajipanga namna ya kulilipa na wakati huo huo mnawashughulikia wale waliowaingiza choo cha kike.
Lakini msingi mkuu wa deni kisheria ni kulipwa.
sawa sawa ndugu vip tu anze na mwaizi au mlinziHata mimi mjadala ule ulinivutia sana.Ofcourse kulikuwa na majinga machache,but overral,it was good.
hapo sasa ivi tupo tayari kuendelea kuibiwaKwani wewe ukiingizwa choo cha kike wakati nawe ni mwanamke kuna shida gani?!, si unachutama tu unamaliza mambo?!. Tatizo ni kuwa walioiba wanapindisha movie ili waonekane hawahusiki. Bunge letu nila mchumia tumbo- tosay a few.
Tusikubal hata kidogo
uko sawa kabisa afu ghafra tutaambiwa tuna pandishiwa gharama za umeme sababu shirika linajiendesha kwa hasaraHaya wewe usikubali, halafu uje kulilia maisha bora humu. Huo mgao unaouona sasa utakuwa mara kumi zaidi yake.
mimi naamini katika kuua kila mwenye kuleta taabu! Hivyo tuvamie miji yao tuwakamate na kupora kila walichonacho na kuua wao na familia zao!
Heri kuua wao wachache na vizazi vyao ili visiibuke tena kuleta mateso ya watanzania wote!
Na hapa tusiogope cheo cha mtu wala sifa yake wala nguvu aliyonayo kiuchumi. Na kwa wale wanaolingia ulinzi tupo tayari sisi watanzania kulipa wataalam kutoka nje wenye ujuzi wa kulenga shabaha vichwa vyao ili wasiwepo tena duniani.
Sasa nauliza je ni wangapi wako tayari kuua waliotuibia fedha zetu?.