It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Jana katika kipindi cha malumbano ya hoja ITV. Mjadala ulikua mzito sana na wakuvutia kutokana na kwamba takribani washiriki wote walijaribu kuonyesha hasira zao katika suala la TANESCO kuilipa DOWANS hukuikionekana dhahili kwamba kuna PALIWINAWI wanachezewa Watanzania.
katika mjadala ule washiriki mara kadhaa walijaribu kuihusisha storry ya malipo haya kama mlinzi kupanga na mwizi kumuibia mwenyenyumba.
katika filamu hii:MLINZI =Mwanasheria mkuu ,Wizara ya nishati na madini + TANESCO
MWIZI=DOWANS,RICHMOND
MALI INAYOIBIWA=94BIL
Wana Jf baada ya kuishtukia hii ishu tuanze na nani MLINZI au MWIZI?
Hoja ya kuandamana naiunga mkono 101% btut kwanini tuendelee kumuamini huyu mlinzi aendelee kutulindia mali yetu.
Nina washukuru sana wachangiaji walio changia katika majadala shukrani za dhati kwa ITV
katika mjadala ule washiriki mara kadhaa walijaribu kuihusisha storry ya malipo haya kama mlinzi kupanga na mwizi kumuibia mwenyenyumba.
katika filamu hii:MLINZI =Mwanasheria mkuu ,Wizara ya nishati na madini + TANESCO
MWIZI=DOWANS,RICHMOND
MALI INAYOIBIWA=94BIL
Wana Jf baada ya kuishtukia hii ishu tuanze na nani MLINZI au MWIZI?
Hoja ya kuandamana naiunga mkono 101% btut kwanini tuendelee kumuamini huyu mlinzi aendelee kutulindia mali yetu.
Nina washukuru sana wachangiaji walio changia katika majadala shukrani za dhati kwa ITV