Mlimani TV: Leo tutakuwa na Humphrey Polepole

Mlimani TV: Leo tutakuwa na Humphrey Polepole

Binafsi nampenda kumpongeza polepole kwa uzalendo wake wa kweli kwa taifa letu! Pia ningependa kumshauri yeye na wajumbe wenzake kwenye tume ya warioba ni vizuri wakaweka msimamo wazi juu ya katiba pendekezwa ya sitta, je wanaiunga mkono? Na kama ndiyo kwa nini? Na kama ni hapana kwa kiasi gani inatofautiana na maoni ya wananchi?
 
Back
Top Bottom