Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Nilichosoma hapa ni kwamba, wana JF humu ndani ni watu waliojaaliwa na mungu kupata elimu, kazi na maisha ya wastani. Yaani wana kazi nzuri, Magari, computer na vitu vingine vya maisha ya kisasa! Shopping zao ni sehem za quality za juu kama mlimani city! Lakini kwa kuwa wamezaliwa TZ badala ya kutumia nafasi zao vizuri kutoa mawazo yao kuleta mabadiliko zaidi kwa minds za watu wengine juu ya namna gani wao wamefanikiwa hadi kufikia hivyo kwenye mazingira haya magumu, wao wanatumia uelewa wao kutukana viongozi, kulaumu, kudai tu, kuchochea uhasama na mambo mengine meengi yasiyokuwa na tija!