Ukifuatilia mwenendo ni kwamba Mt Kilimanjaro ungeweza kuhamishwa kwenda Chato ungehamishwa muhula huu. Tumeshaona mbuga za kutengeneza, uwanja malazimisho ya mashirika ya uma kama CRDB kujenga majengo, NHC kujenga majengo na mengineyo maajabu tutaona mengi sana kipindi hiki.
Bahati mbaya kuna viongozi wa nchi jirani ambao hawajawahi kufika makao makuu Dodoma lakini wamefika Chato. Hivi Nyerere angekuwepo angesema nini na Butiama yake masikini?. Nchi ambayo Nyerere kaiacha imeanza kuwa ya kikanda na maendeleo na kibaya zaidi ni mawaziri badala ya kufuata budget wamekuwa kwenye mikakati ya kujipendekeza kufanya miradi Chato ambayo haina tija.
Uwanja wa KIA ambao ndiyo unaleta watalii ungeweza kupanuliwa kwanza na Rais akatumia helkopta kutoka airport ya Mwanza lakini amefanya nchi ni kama yake binafsi na yeye ndiye aamue pesa itumike vipi!
Tanzania tunakazi tuombee nchi yetu sana.
Bahati mbaya kuna viongozi wa nchi jirani ambao hawajawahi kufika makao makuu Dodoma lakini wamefika Chato. Hivi Nyerere angekuwepo angesema nini na Butiama yake masikini?. Nchi ambayo Nyerere kaiacha imeanza kuwa ya kikanda na maendeleo na kibaya zaidi ni mawaziri badala ya kufuata budget wamekuwa kwenye mikakati ya kujipendekeza kufanya miradi Chato ambayo haina tija.
Uwanja wa KIA ambao ndiyo unaleta watalii ungeweza kupanuliwa kwanza na Rais akatumia helkopta kutoka airport ya Mwanza lakini amefanya nchi ni kama yake binafsi na yeye ndiye aamue pesa itumike vipi!
Tanzania tunakazi tuombee nchi yetu sana.