bikira wa Kimasai
Member
- Oct 30, 2014
- 24
- 10
Ndugu zangu kwa masikitiko makubwa tangu report ikabidhiwe kwa mwenyekiti wa (PAC) Mh.Zuberi Zitto Kabwe kumekuwa na utaratibu wa viongozi hasa wa CHADEMA kujitoa ufahamu kwa kuiunga hoja hii mkono baada ya kuona mambo yanakuwa mazuri kwa upande wa Kafulila na Zitto.
Wakati mjadala wa #Escrow unaibuliwa bungeni wabunge wengi wa upinzani na chama tawala hawakuwaunga mkono na walionekana kama watu walionunuliwa kisiasa Nakumbuka Kafulila alizungumza mara nyingi sana bungeni bila kupata sapoti ya wabunge wenzie wao walikiwa busy na Ukawa.
Wakati wabunge wa upinzani wakiwa busy na Ukawa hawakuona umuhimu wowote wa kuunganisha nguvu ya pamoja dhidi ya ufisadi hui wa wa akaunti ya #Escrow si Mkiti wa NccrMageuzi ndugu Mbatia wala Mkiti wa CHADEMA ndugu Mbowe .
Kinacho nishangaza sasa ni uthubutu wa Mbatia na media eti kuizungumzia #Escrow leo yeye na vibaraka wenzie kama #Joshua Nasary,Halima Mdee na Lissu mlikuwa wapi kupaza sauti ya pamoja tangu mwanzo wa sakata hili?
Mlitaka kuona Zitto na kafulila wameonesha failure katika harakati zao za ukombozi wa nchi dhidi ya Mafisadi?? Sasa aibu yenu Vijana wameonesha msimamo na heshima kubwa pamoja na kutukanwa,kufukuzwa,kudhalilishwa na hata kutishiwa maisha lakini bado wamekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya Taifa.
Taifa linawategemea pambaneni nasi tuko nyuma yenu kuwaunga mkono....No retreat No surrender Aluta continua!!A
Wakati mjadala wa #Escrow unaibuliwa bungeni wabunge wengi wa upinzani na chama tawala hawakuwaunga mkono na walionekana kama watu walionunuliwa kisiasa Nakumbuka Kafulila alizungumza mara nyingi sana bungeni bila kupata sapoti ya wabunge wenzie wao walikiwa busy na Ukawa.
Wakati wabunge wa upinzani wakiwa busy na Ukawa hawakuona umuhimu wowote wa kuunganisha nguvu ya pamoja dhidi ya ufisadi hui wa wa akaunti ya #Escrow si Mkiti wa NccrMageuzi ndugu Mbatia wala Mkiti wa CHADEMA ndugu Mbowe .
Kinacho nishangaza sasa ni uthubutu wa Mbatia na media eti kuizungumzia #Escrow leo yeye na vibaraka wenzie kama #Joshua Nasary,Halima Mdee na Lissu mlikuwa wapi kupaza sauti ya pamoja tangu mwanzo wa sakata hili?
Mlitaka kuona Zitto na kafulila wameonesha failure katika harakati zao za ukombozi wa nchi dhidi ya Mafisadi?? Sasa aibu yenu Vijana wameonesha msimamo na heshima kubwa pamoja na kutukanwa,kufukuzwa,kudhalilishwa na hata kutishiwa maisha lakini bado wamekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya Taifa.
Taifa linawategemea pambaneni nasi tuko nyuma yenu kuwaunga mkono....No retreat No surrender Aluta continua!!A