Mlevi na Polisi

The Priest

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,029
Reaction score
258
Polisi:Nimekuja nyumbani kwako kukupa taarifa kuwa ajali ya gari imetokea, inasemekana mke wako amefariki,naomba twende ukaangalie kama utaitambua maiti.
Mme mlevi: Potezea bhana usinisumbue,kama vipi mpige picha halafu upload facebook then unitag ukiona nime LIKE ujue ndo yeye.​
 
A baby was born at the hospital laughing like crazy.The Doc saw that the baby was holding something in his hand,they carefully opened his hands apart n found an ABORTION PILL!!!! The baby looked up at his mother n said,"AM ALIVE BITCH N NO WEAPON AGAINST ME SHALL PROSPER!!"
 
Huyo sio mlevi tu, bali pia punguani, kichaa na hayawani.Ana mawenge ya akili na ana pepo wachafu...Teh teh teh
 
Siku moja nyani alitafuta all means za ku die akakosa. Alipompata simba amelala aliona ni poa amsumbue ili aliwe afe. Basi alienda akamtia simba kidole hadi simba akaamka.
Simba: nani amefanya hivyo?
Nyani: ni mimi!
Simba: kuna yeyote ameona?
Nyani: hapana!
Simba: basi fanya tena....
 

mkuu nimependa hii,we mkare
 
yuzanem yako mkuu na hii kama haziendani hv?
 

mkuu umetisha
 
Hata katika binadamu,mabaunsa wengi ni mapunga!mi lyk it.
 
Nilipoanza kusoma hii thread nilijua tu itakuwa za kilevi kwani wewe mwenyewe mlevi tht why unatumia jina la mwenzio.
Malizana na police wako.
 
Nilipoanza kusoma hii thread nilijua tu itakuwa za kilevi kwani wewe mwenyewe mlevi tht why unatumia jina la mwenzio.
Malizana na police wako.
hahahahah haya mlevi mwenzanguuu..
 
Haaaaa haaaa, bwana simbaaaaaaa!
 

mkuu nimeikubali.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…