Mlemavu anayeitwa hamis. Ana mke,watoto watatu na ndugu 4. Biashara yake ni bangi.ameweza kuoa,kujenga nyumba na kutunza familia kwa kilimo/uuzaj wa bangi. Tarehe 20 mwez huu alikamatwa na bang kilo 200 na kupelekwa mahakaman.amekili kufanya biashara hiyo kwan ndiyo inamuingizia kipato.hakimu ameachiwa huru. La kusikitisha kasema wakileta mahind ya msaada yeye hawampatii.kasema bangi inalipa ila ataacha kama serikali itakuwa tayari kumpatia huduma. Source: *tv