Mbunge wa chadema Wanje akiongea kwa ujasiri uku akiwa na takwimu bila kuongopa akisema Kikwete ajafanya chochote na hatutaweza kumkumbuka.
Wana JF nampongeza Wanje kwa kusema hayo
Nimemsikia wenje he was so composed!ameonyesha maturity.
Hata Godbles Lema ameongea vizuri hakuwa na jazba.
Wabunge wa CDM wamejipanga.
Hawaongelei u-chadema kama wanavyofanya wabunge wa ccm.