Mkwara? Urusi wajaribu kombora jipya, Putin asema linaweza kufika popote duniani

Mkwara? Urusi wajaribu kombora jipya, Putin asema linaweza kufika popote duniani

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,091
Serikali ya Urusi kupitia Wizara yake ya Ulinzi, kwa mara ya 2 imefanya jaribio la Kombora jipya la masafa marefu linalodaiwa kuwa na uwezo wa kukatiza kutoka Bara moja kwenda lingine

Rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin amesema Kombora hilo linaweza kufika popote duniani.

Ikumbukwe kuwa duniani sasa kuna hofu kubwa ya kutokea vita kuu ya dunia na mabomu ya nyuklia yamekuwa tishio kwa nchi nyingi.

Hatua hii ya Urusi inatajwa kuwa ni sehemu ya kuonesha ubabe kufuatia mgogoro ambao nchi hiyo unao na mataifa mengine kama Marekani na Uingereza baada ya kuwafukuza wanadiplomasia wa urusi katika nchi zao kwa madai ya kuwa Urusi ilihusika kumshambulia kwa sumu jasusi wake wa zamani aliyekuwa amehifadhiwa nchini Uingereza.

Mnaojua zaidi karibuni tujadili haya masuala..
============

AAvhryW.img


Russia tested its new intercontinental ballistic missile (ICBM) for the second time on Friday, the country's defense ministry said in a tweet.

The nuclear weapon called Sarmat will replace the current Soviet-era missile called Veovoda.

Russia's ministry of defense tweeted a video showing the ICBM taking off.

It's the second test of Sarmat. The first took place towards the end of last year.

The test was carried out at the Plesetsk Cosmodrome, as spaceport in the west of Russia.

Russian President Vladimir Putin unveiled details of the missile in March. At the time, he said that the ICBM "can reach any point in the world." The ICBM was unveiled as part of a raft of defense measures during his annual State of the Union address earlier this month.

There are worries about the rising tension between some countries when it comes to nuclear weapons. North Korea has also been carrying out tests of its ICBM.

Russia's missile test comes at a time when it faces backlash from other major nations after Britain blamed the country for the poisoning of Russian former double agent Sergei Skripal. The U.S. and other countries have expelled some Russian diplomats. The Kremlin responded on Thursday by expelling 60 American diplomats from Russia.

Source: Russia tests its intercontinental ballistic missile that Putin says 'can reach any point in the world'
 
Noma sana, ngoja tumskie trump ata tweet nini
 
Hiyo nimisemo yakijeshi kuwa yuko tayari kwa vita najua watakuwa wameelewa
 
Urusi sasa imekua kama korea kaskazini tu wakiwekewa vikwazo wanaenda kujaribisha makombora eti kuonesha na wao ni "wababe"

Fikir vizur, tumia na alama za uwandishi ili kupata maana kamili.
North Korea ingeomba table meeting na US kabla ajafanikiwa sababuyako ingekuwa na mashiko.
Jiulize hasa NK wanataka nin kwa kulinganisha matukio toka Korean war 1950’s
 
On a recent phone call between the two leaders, which made headlines for Trump's decision to congratulate Putinon his less-than-democratic reelection, Trump and Putin reportedly butted heads.

"If you want to have an arms race, we can do that, but I'll win," Trump told him, according to NBC.
 
On a recent phone call between the two leaders, which made headlines for Trump's decision to congratulate Putinon his less-than-democratic reelection, Trump and Putin reportedly butted heads.

"If you want to have an arms race, we can do that, but I'll win," Trump told him, according to NBC.

US hana jeuri ya kuichokoza Russia hata iwe vip, anajua matokeo yake yatakuwa nin. Trump lazima ajitutumie ila aweza kumaintain influence yake kwa bala la Ulaya. Maana kunahatar nchi nying za Ulaya ambazo viongozi wake wanamaona mapata ni Salama kwako kama watakuwa na mahusiano mazuri na Russia ktk nyanja mbalimbali hasa kiuchumi kuliko kuwa maadai. Na ni hofu ya Uingereza kutengwa hasa baada ya kujitoa EU nae ndio kibalaka mkubwa wa US na Hadui Mkubwa wa Russia. Ila Nchi kama Ugeruman, mahusiano mazur na Russia yanafaida zaid kwake. Ni jambo la Muda tuuu Nchi za Ulanya zitaanza kuwa na mahusiano mazuri zaid na Russia kideplomacia hata Uchumi wakiweka hoja ya kuboresha usalama kati yao. Putin sio mjinga kutest hilo kombora na ulaya yote inajua uwezo na akili zao
 
US hana jeuri ya kuichokoza Russia hata iwe vip, anajua matokeo yake yatakuwa nin. Trump lazima ajitutumie ila aweza kumaintain influence yake kwa bala la Ulaya. Maana kunahatar nchi nying za Ulaya ambazo viongozi wake wanamaona mapata ni Salama kwako kama watakuwa na mahusiano mazuri na Russia ktk nyanja mbalimbali hasa kiuchumi kuliko kuwa maadai. Na ni hofu ya Uingereza kutengwa hasa baada ya kujitoa EU nae ndio kibalaka mkubwa wa US na Hadui Mkubwa wa Russia. Ila Nchi kama Ugeruman, mahusiano mazur na Russia yanafaida zaid kwake. Ni jambo la Muda tuuu Nchi za Ulanya zitaanza kuwa na mahusiano mazuri zaid na Russia kideplomacia hata Uchumi wakiweka hoja ya kuboresha usalama kati yao. Putin sio mjinga kutest hilo kombora na ulaya yote inajua uwezo na akili zao
Hayo makombola US aliyatengeneza 1945, hayamsumbui kwa lolote. Tatizo wewe unafananisha mambo.
 
Hayo makombola US aliyatengeneza 1945, hayamsumbui kwa lolote. Tatizo wewe unafananisha mambo.

Hizo ni propaganda tuu, kama hayo alifanya 1945 na amisha advance sana kwanin asimvamie, lakin kila siku propaganda tuuu ili wawapate watu ambao unapenda kusikia pasipo kuchambua mambo. Leo movies nying za US wamebez mambo ya CIA na kuonyesha wanavyo wazibit Russia na mabaya zote yote ni Russia au North Korea.

Tunayo yajua ni machache sana kuliko tusio yajua ila matukio pekeee yanaweza kutupa base line yakufanya judgement.

Kwanza ujuulize taarifa unazipata kutoka wap jibu kila kitu google, je google ni ya nan
Information is power, no one can give you information about his/her weakness
 
Hayo makombola US aliyatengeneza 1945, hayamsumbui kwa lolote. Tatizo wewe unafananisha mambo.
Mkuu tumia akili hata kdg, hii ni karne ya 21, hayo makombola yapo karne ya 19 so can you se the differences.
 
Pew Research Center kupitia utafiti wake wa mwaka 2015 inaonyesha uungwaji wa siasa za Russia kimataifa kama hivi ;
  • Vietnam - 75%
  • Ghana - 56%
  • China - 51%
  • South Korea - 46%
  • Lebanon - 44%
  • Philippines - 44%
  • India - 43%
  • Nigeria - 39%
  • Tanzania - 38%
  • Ethiopia - 37%
  • Uganda - 37%
Uungaji mkono wa Wananchi wa Russia wenyewe ni 92%.
Na nchi kumi ambazo zina msimamo mdogo kwenye kuziunga mkono siasa za Russia kimataifa ni ;-
  • Pakistan - 12%
  • Turkey - 15%
  • Poland - 15%
  • United Kingdom - 18%
  • Jordan - 18%
  • Ukraine - 21%
  • Japan - 21%
  • United States - 22%
  • Mexico - 24%
  • Australia - 24%
Cc: Malcom Lumumba
 
Pentagon si walisema anatania ???
😀😀😀😀😀

Mkuu, Putin ni binadamu mkimya sana mwenye kutafakari mambo kiundani bila ya kukurupuka - naona 4 some reason US/NATO leadership wameshindwa kutafusiri hotuba yake aliyo toa juzi juzi kwa Taifa lake - ambayo kiukweli hutuba hiyo was geared kuwapa onyo kali maadui wake, mwanzo walimchukulia kwamba ni weak kwa kuwa siku zote alikuwa anakazania kwamba US na RF wanapaswa kuelewana, kuachana na malumbano na ushindani husio na tija yoyote kwa ustawi wa binadamu Duniani, Wapambe wa Trump hawakutaka kulisikia hilo, masaa yote wanafikiria/plan kitu kimoja tu "HOW TO DESTROY RUSSIA" wamepania kweli kweli si mchezo - wanawatumia Waingereza kutafuta pretext ya kuanzisha WW3.

Putin amevumilia sana pamoja na uchokozi/chokocho zao jamaa alikuwa anawastahi sana kwa muda mrefu huku ikimarishi jeshi lake ili mwisho wa siku awape a telling blow where it hurts the most, bianfsi nahisi jamaa huyu amekwisha jipanga nini la kufanya kulinda Taifa lao - sioni kama RF itakubali ya Hilter yajitokeze tena katika Taifa lao - watapigana kulinda Taifa lao unlike wenzao wanao taka kupigana kwa ajili ya maslahi.
 
And what's your opinion on this statement ???

Mkuu, TRUMP amekwisha kanusha kwamba hakuwahi kuzungumza vitu kama hivyo - hizo ni propaganda za MSM, nafurahi kwamba watu wengi Duniani wamekwisha vishtukia vyombo vya habari vya nchi za Magharibi specifically US na UK.
 
Back
Top Bottom