Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Mkuu wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam , amesema Watanzania kwa asili yao wana hamu ya kuishi kwa amani na siyo vurugu, akisisitiza kuwa baadhi ya kauli zinazohusiana na uvunjifu wa amani mara nyingi hazina mashiko.
“Watanzania wenyewe wana hamu ya amani, hakuna Mtanzania mwenye hamu ya vurugu. Hakuna mtu aliye tayari kwa ajili ya vurugu. Hizi ambazo tunaziona zinasemwa mara nyingi ni mtu tu unaweza ukaamua chumbani ukaandika unachokitaka wewe na unachokisikia,” amesema Mpogolo.
Amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo tayari kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa amani na utulivu, na wananchi waendelee kujiandaa kushiriki bila hofu.
“Watanzania wenyewe wana hamu ya amani, hakuna Mtanzania mwenye hamu ya vurugu. Hakuna mtu aliye tayari kwa ajili ya vurugu. Hizi ambazo tunaziona zinasemwa mara nyingi ni mtu tu unaweza ukaamua chumbani ukaandika unachokitaka wewe na unachokisikia,” amesema Mpogolo.
Amesisitiza kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vipo tayari kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa amani na utulivu, na wananchi waendelee kujiandaa kushiriki bila hofu.