Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Watanzania sio wastaarabu.
UKURUPUKAJI at the highest stage.Nlikuwa natizama hapa Azam two (Kama sijakosea) ghafla mkuu mmoja wa wilaya Mteule akaambiwa atoke nje/atupishe kwani aliteuliwa kimakosa bila hata ya kuambiwa neno kama samahani au ishara yoyote ya kuonesha kuwa wamemletea usumbufu,lakini kuambiwa'tupishe'kwani uliteuliwa kimakosa!!!
Mimi naona ingefaa Sana kama angefuatwa alipoketi aambiwe bila hata ya watu wengi kunotice kuwa hakustahili kuwapo pale(kwamba kuteuliwa kimakosa na aombwe radhi kwa usumbufu), Lakini Haikuwa Hivyo, badala yake Katolewa nje wazi wazi.
Mnalionaje hili Wakuu?
upinzani ulishanda hata hivyohaya ndio mawazo yenu mbadala?
"Upinzani tusipochukua uraisi mwaka huu 2015, tusubiri tena miaka mingine 40" By Edward Lowasa 2015
Una uhakika ndiye huyu WA Leo??
Nimeweka ili wajuzi watutonye kama ndiye yeye au laUna uhakika ndiye huyu WA Leo??
huyu mwingineNimeweka ili wajuzi watutonye kama ndiye yeye au la
Huyo aliyeaibishwa ni CCM ujuehaya ndio mawazo yenu mbadala?
"Upinzani tusipochukua uraisi mwaka huu 2015, tusubiri tena miaka mingine 40" By Edward Lowasa 2015