Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mkuu wa wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza ameweka askari kuwazuia wananchi kuingia kwenye shamba la muwekezaji kuchimba dhahabu ambalo Rais Magufuli aliwaruhusu
Muwakilishi wa muwekezaji huyo ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi amesema shamba hilo analimiliki kisheria hivyo hawezi kuwapa wananchi