kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Serikali ya mtaa Kijenge kusini inayoundwa na CCM imeanzisha sungu sungu na kuchukua hela ya ulinzi, Matokeo yake maduka manne yamevunjwa na watu wanakabwa na kuporwa simu na hela Wakati wa uongozi wa CHADEMA hapakuwa na sungu sungu na hakuna mtu aliye wahi ibiwa.
Tunaomba mkuu wa Wilaya aje tumweleze kero yetu kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Tunaomba mkuu wa Wilaya aje tumweleze kero yetu kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.