Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,446
DC anaagiza Mkuu wa Shule avuliwe madaraka!!!! ama kweli ualimu na uonevu ni chanda na pete..huyu mkuu wa wilaya ni nani katika sekta ya elimu mpaka kufikia kumvua madaraka mkuu wa shule?
na aliyewachapa viboko je, Bulembo amesema wafanya kazi wa serikali wote ni ccm,ambaye hataki aache kazi hivo atawabana mwanzo mwisho ata viboko watakula wasije kipaka matope chama sikivu.