Mkuu wa Mossad atoa hotuba adimu kuhusu Iran!!

Mkuu wa Mossad atoa hotuba adimu kuhusu Iran!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Mkuu wa Mossad katika hotuba adimu: "Mossad ina uwezo mkubwa na usiofikirika ndani ya Iran" kuna watu walikuwa wanasema Iran haiingiliki sisi Mossad tumejipenyeza kila sehemu mpaka katikati ya Tehran,

Tunakushukuru Waziri Mkuu na waziri wa ulinzi kwa kuidhinisha kila Operation tuliyoipanga dhidi ya Iran, tunaendelea kujitanua ndani ya Iran ili kuilinda nchi yetu ya Israel. Tunaendelea kuiangalia Iran kwa hicho la tatu na hatutaruhusi mawazo yoyote ya kutaka kuidhuru nchi yetu!!!

My take Iran ana Kazi ngumu sana huko mbele Gaidi Ayatollah anaweza kufa kabla ya siku zake!!!! Webabu mdogoye gTurn Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz
 
Mkuu wa Mossad katika hotuba adimu: "Mossad ina uwezo mkubwa na usiofikirika ndani ya Iran" kuna watu walikuwa wanasema Iran haiingiliki sisi Mossad tumejipenyeza kila sehemu mpaka katikati ya Tehran,

Tunakushukuru Waziri Mkuu na waziri wa ulinzi kwa kuidhinisha kila Operation tuliyoipanga dhidi ya Iran, tunaendelea kujitanua ndani ya Iran ili kuilinda nchi yetu ya Israel. Tunaendelea kuiangalia Iran kwa hicho la tatu na hatutaruhusi mawazo yoyote ya kutaka kuidhuru nchi yetu!!!

My take Iran ana Kazi ngumu sana huko mbele Gaidi Ayatollah anaweza kufa kabla ya siku zake!!!! Webabu mdogoye gTurn Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz
View attachment 3476346

Kumbe wapi mwamba ngozi akasukumia kwako?
 
Mkuu wa Mossad katika hotuba adimu: "Mossad ina uwezo mkubwa na usiofikirika ndani ya Iran" kuna watu walikuwa wanasema Iran haiingiliki sisi Mossad tumejipenyeza kila sehemu mpaka katikati ya Tehran,

Tunakushukuru Waziri Mkuu na waziri wa ulinzi kwa kuidhinisha kila Operation tuliyoipanga dhidi ya Iran, tunaendelea kujitanua ndani ya Iran ili kuilinda nchi yetu ya Israel. Tunaendelea kuiangalia Iran kwa hicho la tatu na hatutaruhusi mawazo yoyote ya kutaka kuidhuru nchi yetu!!!

My take Iran ana Kazi ngumu sana huko mbele Gaidi Ayatollah anaweza kufa kabla ya siku zake!!!! Webabu mdogoye gTurn Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz
Hizo ni propoganda hawana jipya afu video yenyewe hata haifunguki
 
Warushe jiwe Tena, safir hii hatutak kuomba poooh


Iran ilivyopigwa kiasi kile, halafu isiombe poo, si watu wangeisha? Wenzako waliona hatari kubwa iliyokuwepo mbele yao, na kumfuata Trump au Netanyahu, wakawa hawana uwezo, njia pekee ndiyo ile waliyoitumia, ya kuwaomba viongozi wa Ulaya wazungumze na Trump, huku wakiahidi kuwa the moment Israel inaacha kushambulia Tehran, na wao wanasimamisha kurusha makombora yao yasiyo na mwelekeo.
 
Itafunguka tu kwako kama utapaka wanja vizuri!!!!
Mimi upande wangu sikatai Mossad wanajitahidi sana kuhonga ili wapate infomation kwa kuwa ajiri wajinga kuspy nchi zao, kama walivyo fanya Iran. Lakini ukweli uko wazi Israel hana ubavu wakupigana na Iran.
 
Bahati nzuri Iran huwa hawaongei sana, wako kimya kama hawapo ila warushie hata jiwe uone kimbembe chake.
 
Bahati nzuri Iran huwa hawaongei sana, wako kimya kama hawapo ila warushie hata jiwe uone kimbembe chake!!
Kimbembe kuzidi hiki cha kupoteza Makamanda waandamizi 30+ na Wanasayansi 60+ na kupoteza watu wake zaidi ya 1,000!,,
 
Israel wamalizane na Hamas - Gaza kwanza.Mateka 42 hawajapatikana bado..
 
Wavaa vipedo wa JF walidai mwamba amekufa katika vita ya siku 12 Ile na forums mzima wakajaza Tanzia imekuaje sasa !??
Jamaa kafufuka?
Cc. Webabu
 
Mimi upande wangu sikatai Mossad wanajitahidi sana kuhonga ili wapate infomation kwa kuwa ajiri wajinga kuspy nchi zao, kama walivyo fanya Iran. Lakini ukweli uko wazi Israel hana ubavu wakupigana na Iran.
Katika vita vya siku 12 nitajie kafa kiongozi gan Israel?...
 
Katika vita vya siku 12 nitajie kafa kiongozi gan Israel?...
Toka lini Israel aliwanika makamanda zake mpaa tuwajue 😄 🤣 ndio sababu hata wakiuliwa hatujui wamekufa wangapi.
 
A
Israel wamalizane na Hamas - Gaza kwanza.Mateka 42 hawajapatikana bado..
cha ujinga Hamas waliteka watu 251 na Sasa wamebaki 48 shida iko wapi? Nao watakombolewa tu kwa hali yoyote ile Acheni kujilizaliza kutafuta huruma!!
 
Back
Top Bottom