Mkuu wa mkoa wa Mara, Magesa Mulongo awatumbua mganga, mhandisi wa maji Tarime

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,633
2,297
Mkuu wa mkoa wa mara Magesa Mulongo ametoa maagizo ya kuondolewa mara moja mganga wa zahanati ya Surubu na kulitaka jeshi la polisi kumhoji mhandisi wa maji wa wilaya ya Tarime kwa ubovu wa mradi.

Mkuu huyo amesema mhandisi Vita Mkupa atoe maelezo juu ya mradi uliogharimu milion 318 na maji kushindwa kutoka.
 
Huyu nae ni JIPU kweli kweli aliyoyafanya Arusha yanasikitisha alikula rushwa mpaka akamnunulia hawara bastola ya kujilinda kwa jinsi alivyokuwa anamuhonga hela. Sijui Magu kamteua kwa vigezo vipi yeye kila aendapo hushindana na wenye taaluma zao, hovyo kweli
 
Huyu nae ni JIPU kweli kweli aliyoyafanya Arusha yanasikitisha alikula rushwa mpaka akamnunulia hawara bastola ya kujilinda kwa jinsi alivyokuwa anamuhonga hela. Sijui Magu kamteua kwa vigezo vipi yeye kila aendapo hushindana na wenye taaluma zao, hovyo kweli
Taratibu atakusikia nimeambiwa jamaa ni mwepesi wa kukunja ngumi ila huku mara lazima ajue kutumia panga
 
Taratibu atakusikia nimeambiwa jamaa ni mwepesi wa kukunja ngumi ila huku mara lazima ajue kutumia panga
Haaaaha, hajui kukunja ngumi hata hilo panga ukimpa hajui matumizi yake, anachojua yeye ni kutuma walinzi na kutumia askari polisi.
 
Huyu nae ni JIPU kweli kweli aliyoyafanya Arusha yanasikitisha alikula rushwa mpaka akamnunulia hawara bastola ya kujilinda kwa jinsi alivyokuwa anamuhonga hela. Sijui Magu kamteua kwa vigezo vipi yeye kila aendapo hushindana na wenye taaluma zao, hovyo kweli
Kamteua kwa kigezo kimoja tu cha kurudisha majimbo yote ya Mwanza chin ya CCM
 
Hee mbona atafukuza wahandisi wote? Miradi yote ya maji mkoa wa Mara iliyopata ufadhili wa WB tender zote zilichukuliwa na wana CCM na mpka kesho maji hayajatoka. Serengeti ndo inaongoza.
Mkuu wa mkoa wa mara Magesa Mulongo ametoa maagizo ya kuondolewa mara moja mganga wa zahanati ya Surubu na kulitaka jeshi la polisi kumhoji mhandisi wa maji wa wilaya ya Tarime kwa ubovu wa mradi.

Mkuu huyo amesema mhandisi Vita Mkupa atoe maelezo juu ya mradi uliogharimu milion 318 na maji kushindwa kutoka.
 
It was planned before, namshauri atupie macho miradi ya maji, ujenzi wa maabara, pembejeo. Then akirudi Musoma atakuwa ameacha vilio Serengeti. Mtupe update mlioko Serengeti
Duh, na leo kafanya suprise visit hapa Serengeti, naona atatoka na mtu, watu roho juu
 
Hivi unaenda site mwanakijiji anakupa maelezo ya mradi wakati yeye sio mtaalam badala ya kujiridhisha kwanza na wataalam unakurupuka. .
Hii mnaita majipu naona yameisha sasa ngozi inachunwa
 
Hili ni jipu kabsa hata kwenye TV linaoneka kabsa, atavuruga hapo Mpaka rais atakapowaonea huruma
 
Mkuu wa mkoa wa mara Magesa Mulongo ametoa maagizo ya kuondolewa mara moja mganga wa zahanati ya Surubu na kulitaka jeshi la polisi kumhoji mhandisi wa maji wa wilaya ya Tarime kwa ubovu wa mradi.

Mkuu huyo amesema mhandisi Vita Mkupa atoe maelezo juu ya mradi uliogharimu milion 318 na maji kushindwa kutoka.
Sijui anajisikiaje
 
Back
Top Bottom