Mkuu wa mkoa wa dodoma amenikataza nisiuze uwanja wangu!!!!

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma, juu ya kusubiri maandalizi ya siku 14 kwa wizara mbalimbali kutohamia huko hadi akamilishe maandalizi kadhaa imeniacha na sintofahamu. Akiongelea swala hilo mkuu huyo wa mkoa licha ya kuwaambia watu wa serikalini juu ya maandalizi hayo yatakayo chukua siku 14 ndipo waanze kuhamia Dodoma, alienda mbali zaid kwa kupiga marufuku kuuza nyumba au uwanja wowote!!!! Hadi hizo siku 14 zipite

Kwa mnaojua huu ni mwendo wa kukurupuka au ndio utendaji ulivyo mkuu wa mkoa anaweza akanizuia nisiuze nyumba yangu au uwanja wangu kisa maandalizi yake kwa serikali kuhamia Dodoma?? Mm kuhamia dodoma kunanihusu nn?? Uwanja wangu hati yangu maelekezo gani atakayotoa mkuu wa mkoa baada ya siku 14 yatakua mapya kwenye sheria ya ardhi?? Je anaenda kutunga sheria mpya ya umiliki wa ardhi??
Je mm nikiuza uwanja wangu halali nitakua nimevunja sheria gani ya ardhi??

Suruhisho !!
Kama mkuu wa mkoa anahofia watu kutapeliwa angetoa angalizo tu kwamba, wananchi iweni makin kipindi hiki mnaweza kutapeliwa fateni sheria za ardhi msiuziane maeneo kiholela na sio kupiga marufuku kufanya biashara. Maana kwa wengine ujenzi ndio biashara zetu!!!

Je ww unalionaje hili la mkuu wa mkoa kupiga marufuku kununua nyumba au uwanja hadi zipite siku 14 ni sawa?????
 
Kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma, juu ya kusubiri maandalizi ya siku 14 kwa wizara mbalimbali kutohamia huko hadi akamilishe maandalizi kadhaa imeniacha na sintofahamu. Akiongelea swala hilo mkuu huyo wa mkoa licha ya kuwaambia watu wa serikalini juu ya maandalizi hayo yatakayo chukua siku 14 ndipo waanze kuhamia Dodoma, alienda mbali zaid kwa kupiga marufuku kuuza nyumba au uwanja wowote!!!! Hadi hizo siku 14 zipite

Kwa mnaojua huu ni mwendo wa kukurupuka au ndio utendaji ulivyo mkuu wa mkoa anaweza akanizuia nisiuze nyumba yangu au uwanja wangu kisa maandalizi yake kwa serikali kuhamia Dodoma?? Mm kuhamia dodoma kunanihusu nn?? Uwanja wangu hati yangu maelekezo gani atakayotoa mkuu wa mkoa baada ya siku 14 yatakua mapya kwenye sheria ya ardhi?? Je anaenda kutunga sheria mpya ya umiliki wa ardhi??
Je mm nikiuza uwanja wangu halali nitakua nimevunja sheria gani ya ardhi??

Suruhisho !!
Kama mkuu wa mkoa anahofia watu kutapeliwa angetoa angalizo tu kwamba, wananchi iweni makin kipindi hiki mnaweza kutapeliwa fateni sheria za ardhi msiuziane maeneo kiholela na sio kupiga marufuku kufanya biashara. Maana kwa wengine ujenzi ndio biashara zetu!!!

Je ww unalionaje hili la mkuu wa mkoa kupiga marufuku kununua nyumba au uwanja hadi zipite siku 14 ni sawa?????
Usihofu mkuu wako wa mkoa i believe ndio rc stable kuliko wote,the guy is strictly na anafuata ethics mno,sio mkurupukaji kama wengine,hiko cheo amekipata kutokana na ethics zake i believe.
 
Hatutaki kuzalisha Keko, Manzese au Majohe na Tandale nyingine huko Dodoma, mipango inawekwa ili kuhakikisha Mji mpya wa Dodoma hauwi kama wa Dar
So mji unapangwa ndani ya siku 14?
Dodoma leo hi ndio inajulikana kama mji mkuu?
Means Dodoma hakuna sehem zilizopimwa? Mm na hat yangu itanizuiaje??
 
Mkuu omba Mungu tu kisije kuwafaa kwa matumizi yao maana utaenda kuswaga kama ng'ombe sehemu nyingine bila makubaliano
 
Back
Top Bottom