Mkuu ulisahau tuliambiwa elimu si kigezo tena bali ni uchapa kazi?Kwa ajili ya huyu huyu zero brain?huyu ndio kiongodhi wa kwanza kutamka kwamba baada ya rais hakuna kiongozi mwengine anayejiamini kama yeye !
UKOSEFU WA ELIMU BADO NI TATIZO TANZANIA..
unaweza kuitwa "msomi mzuri tu" na kilaza mwenzako
lakini kama kichwani ni fuvu tupu wenye akili watakubaini.