mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
hivi wadau huyu jamaa nilimsikia mwanzoni kwenye kampeni za kura za maoni akiwa hamtaki sioi akimtaka sarakkya baada ya sioi kupitishwa sijamsikia tena kwenye kampeni au ndo ameshaielewa arusha ikoje au yeye kaletwa pale kuja kumdhibiti lowasa tu maana tofauti na RC wengine huyu alikuwa kimya na wala alikuwa hatajwi kwenye mikutano ya chadema wala kuingilia uchaguzi...magesa vipi kiongozi au hukutaka lawama maana tulizoea vitisho kutoka kwako mwanzoni au kiboko yako ni lemaaa nini...pole kaka