Mkuu mshana eti ni kweli..??!!

Mkuu mshana eti ni kweli..??!!

Nimkimbilie nani

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
6,202
Reaction score
6,545
Kwamba mpare ukimpa ugali na hichi kipande cha picha anashiba kabisa.
7e962c12418c1ce63b28c0d723239e79.jpg
 
Kwamba mpare ukimpa ugali na hichi kipande cha picha anashiba kabisa.
7e962c12418c1ce63b28c0d723239e79.jpg
Hicho kipande kinaliwa na ugali wiki nzima bila kwisha, tena kuna wakati jirani anaweza kuja kwako kuazima nae akalie ugali kisha akimaliza anakurudishia hivyo hivyo.
 
Kwahiyo ataamua aanzie kichwani ama mkiani kukila, wako vizuri ktk hisia.
 
hahahahahaa sasa kama mtu akipata samaki analia ugali akipata picha ya dem si anapigia nyet..o kuwen. serioua jaman
 
bajeti muhimu , ndio chanzo cha utajiri
 
Back
Top Bottom