Mhonzuyadilu
Senior Member
- Oct 28, 2012
- 156
- 53
Wadau na wapenzi wa harakati za mageuzi baada ya mimi kukosa likizo kwenda kumpa support mzee wangu kamanda wa CHADEMA huku home mpanda Rukwa, leo jumapili nimekosa pa kuelekea so nauliza kwenu makamanda mwenye ratiba ya mkutano wa ukawa maeneo ya hapa jijini Dar es salaam anijuze nikawaunge mkono wanajeshi wapya wa ukombozi niko pande za tabata mwanainchi relini.