Mkutano wa UKAWA Jangwani

Mkutano wa UKAWA Jangwani

Lizaboni

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
33,901
Reaction score
20,410
Wadau, naomba kuuliza kama kuna mtu mwenye taarifa za kufanyika kwa mkutano wa UKAWA pale Jangwani Dar Es Salaam leo tarehe 5.5.2014 kama tulivyotangaziwa juzi. Naona mpaka sasa hakuna taarifa zozote. Au ndo wamenywea baada ya Nape kuwalipua kule Pemba. Nilijua tu kuwa hizi ni nguvu za soda. Makali yake yanaonekana wakati wa kufungua kizibo tu
 
Hata wakija hatuendi ------- zao mafuriko yote haya halafu tukasikilize wahuni wa kazi gani.
 
Si lazima niende bali tumekuwa tukipata kila kitu humu JF
Mimi sitaki hata kuwasikia tunataka wanasiasa watumikie watu siyo kila kukicha kuandamana wakaandamane kibosho na kishumundu.
 
Wadau, naomba kuuliza kama kuna mtu mwenye taarifa za kufanyika kwa mkutano wa UKAWA pale Jangwani Dar Es Salaam leo tarehe 5.5.2014 kama tulivyotangaziwa juzi. Naona mpaka sasa hakuna taarifa zozote. Au ndo wamenywea baada ya Nape kuwalipua kule Pemba. Nilijua tu kuwa hizi ni nguvu za soda. Makali yake yanaonekana wakati wa kufungua kizibo tu

haya bana Lizaboni
 
Wewe Kikoi unaota ndoto za mchana, huna lolote wewe ni msaka tonge nalabuk
 
Mimi sitaki hata kuwasikia tunataka wanasiasa watumikie watu siyo kila kukicha kuandamana wakaandamane kibosho na kishumundu.
Hakika Mkuu. Ila bahati nzuri watu wa bongo hawanaga simile. Hawapo tayari kusikiliza upuuzi wa watu wanafiki
 
Ungepewa taarifa ila umekuja kinafiki sana
Na sisi tutakuacha na unafiki wako
Huna haja ya kujuwa ratiba za ukawa
Maana hukawii kwenda na grunet
Hivi nikuulize baada ya ccm kibanda maiti wanaelekea wapi tena?
 
Ungepewa taarifa ila umekuja kinafiki sana
Na sisi tutakuacha na unafiki wako
Huna haja ya kujuwa ratiba za ukawa
Maana hukawii kwenda na grunet
Hivi nikuulize baada ya ccm kibanda maiti wanaelekea wapi tena?
Baada ya Kibanda Maiti, CCM tunaelekea Kibanda Kaburi
 
Ungepewa taarifa ila umekuja kinafiki sana
Na sisi tutakuacha na unafiki wako
Huna haja ya kujuwa ratiba za ukawa
Maana hukawii kwenda na grunet
Hivi nikuulize baada ya ccm kibanda maiti wanaelekea wapi tena?

Lizaboni jibu swali la mkuu kibo, after kibandamaiti mtakwenda wapi?
 
Mimi sitaki hata kuwasikia tunataka wanasiasa watumikie watu siyo kila kukicha kuandamana wakaandamane kibosho na kishumundu.

Naona majinga mafirauni na wapuuz mnafarijiana. Hata hvyo haturuhusu ma intarahamwe.
 
Kwa nini mnasubiri kujibu hoja siku zote hamjengi hoja?
Hii inaonyesha mlivyo weupe kichwani
Mkuu, umewahi kumsikia Nape nnauye akijenga hoja popote anapohutubia magamba? Ikiwa wapinzani wake hawajasema kitu, ccm haina issue ya kuzungumza si bungeni si uraiani. Ndo maana wakajiita magamba, kwani issues ziko kwenye maggwanda daima kazini.
 
Kwa nini mnasubiri kujibu hoja siku zote hamjengi hoja?
Hii inaonyesha mlivyo weupe kichwani
Mkuu kibo10, umeuliza swali na mie nimekujibu. Au wewe ulitaka iweje?
 
Mkuu, umewahi kumsikia Nape nnauye akijenga hoja popote anapohutubia magamba? Ikiwa wapinzani wake hawajasema kitu, ccm haina issue ya kuzungumza si bungeni si uraiani. Ndo maana wakajiita magamba, kwani issues ziko kwenye maggwanda daima kazini.
Hivi UKAWA nako kuna magwanda?
 
Hata wakija hatuendi ------- zao mafuriko yote haya halafu tukasikilize wahuni wa kazi gani.
kinachowaponza nyie ni kutumia mitusi badala ya kujibu hoja za UKAWA, hili ni tatizo kubwa ndani ya CCM ya leo.

Mpaka sasa mmeshindwa kuwahakikishia watanzania uhusiano wa muundo wa Serikali 3 wanazozitaka na:-
a) matumizi kuongezeka
b) Uasi wa jeshi letu
c)Uroho wa madaraka.
d) Kuvunjika kwa muungano

Majibu mnayoyatoa ni kama ya kukaririshwa vile- ukiulizwa swali la nyongeza unaanza kuporomosha mitusi na kupandwa na jazba!!
 
Back
Top Bottom