Captain 22175
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 300
- 494
Umoja wa kampuni Binafsi za Ulinzi Tanzania wanataraji kufanya mkutano wao wa kazi mnamo mwezi March 2026.
Mkutano huo utakua ni fursa kubwa kwa wamiliki wa kampuni za ulinzi kupata kazi, kufahamiana, na pia kuonana na viongozi wa serikali ili kutatua changamoto zao za kibiashara.
Akizungumza na vyombo vya Habari, mratibu msaidizi wa UKUTA mzee Juma nyamasheki amewasihi wakurugenzi Tanzania nzima kuhakikisha wanahudhuria mkutano huo muhimu.
Mkutano huo utakua ni fursa kubwa kwa wamiliki wa kampuni za ulinzi kupata kazi, kufahamiana, na pia kuonana na viongozi wa serikali ili kutatua changamoto zao za kibiashara.
Akizungumza na vyombo vya Habari, mratibu msaidizi wa UKUTA mzee Juma nyamasheki amewasihi wakurugenzi Tanzania nzima kuhakikisha wanahudhuria mkutano huo muhimu.