Kuna nani amemwomba kwamba tunataka afuate mawazo yetu?
Huna kielelezo na watu kama nyinyi mnaotetea ushenzi hafai kwenye jamii.
Afanye asifanye maamuzi lakni hakuna lisilo na zao. Mtu huwezi panda mahindi ukavuna mihogo.
Watz sio wajinga na subiri utaona. Ukamwambie boss wako.
Naombea awasafishe watuhumiwa wote akiwemo yeye mwenyewe, ili liwe anguko kuu la CCM 2015. Hivi kesha pona tezi?
Bunge lilitoa maazimio yake , raisi anahiari ya kuyatekeleza au kuyatupa. Watanzania tunalijua fika, tatizo lipo kwenu nyie mafisadi na majizi mnaokesha mitandaoni.
Lini Bunge watajadiili haya na kutoa Maazimio 1- Rostam kuuza hisa za Vida kwa dola milion 300 hakulipa Kodi lakini alimugawia Mengi mamilioni Wakamaliza Ugonvi wao, Mengi alikopa NBC kisha akapoteza Ushahidi na akalikwepa Deni, Mengi si mlipaji Kodi mzuri amejaa Madhambi Mengi Kama lilivyo jina lake, Bunge wajadili hizo pesa alizopewa Sendeka ili apige Mayowe Bungeni zimekatwa Kodi? Dowans iliuzwa kwa Dola M 120 kama lilivyo deni la IPTL je? Dowans waliilipa Kodi? Serikali ilitoa fidia ya dola milion 100 je? Zilikatwa Kodi? Wakiletwa FBI hapa Tz wawachunguze kwa kiina Mengi na Mkono lazima wataelekea jela kwani si watu Saafi, Nchi Hii hakuna aliye Msaafi kiasi cha kumnyooshea mwenzake kidole.
Mwizi ni baba yako Mengi ambaye Anawaibia wafanyakazi wake kwa kuwalipa mishahara mibovu Huku akitumia Mabilioni kwenye Ligi za kuwang'oa wapinzani wake kibiashara, Mengi halipi Kodi Mengi kama lilivyo jina lake ana Madhambi Mengi sana hapaswi kumnyooshea mtu Kidole kwani yeye ni Mwizi number one.
Mimi simsafishi Mtu bali nahoji iweje Rais afanye kazi kwa Shinikizo la Mengi ambaye yupo kwa Masilahi binafsi ya Vitalu vya Gesi huku akiwa amesheheni Madhambi kibao Lakini yupo busy kuwanyooshea wenzake vidole.
Kuna nani amemwomba kwamba tunataka afuate mawazo yetu?
Huna kielelezo na watu kama nyinyi mnaotetea ushenzi hafai kwenye jamii.
Afanye asifanye maamuzi lakni hakuna lisilo na zao. Mtu huwezi panda mahindi ukavuna mihogo.
Watz sio wajinga na subiri utaona. Ukamwambie boss wako.
Heee! Mi nilikuwa sijui kuwa kumbe Mengi ni mkubwa kiasi hiki hadi atoe maazimio kwa Rais na Rais akose usingizi kujaribuu kuyatekeleza. Nilidhani Rais alitakiwa kufanyia kazi mapendekezo ya Bunge la JMT kufuatia ripoti ya kamati ya bunge ya PAC. Hii ya kudai ni mashinikizo ya Mengi naona ni chuki yako tu dhidi ya Mengi, na kwa kuwa sijui wapi mligongana, binafsi sitaki kuingilia, mtamalizana huko huko. Ila kama unataka kutuamimisha kuwa Mengi kaliteka bunge la JMT, basi huyu mzee atakuwa na nguvu za ajabu pia.