Watanzania tunasubiri kwa hamu kusikia hotuba ya mheshimiwa rais Jakaya Kikwete atakayoitoa kesho atakapokutana na wazee. Baadhi yetu eti tunafikiria kwamba kesho mheshimiwa rais atakurupuka na kuwafukuza vigogo wanaohusishwa na kashfa ya akaunti ya ESCROW, kama tunafikiri hivyo tumepotoka.
Tanzania ni nchi inayofuata utawala wa sheria. Kuna taratibu za kuongoza nchi. Mheshimiwa rais atasimamia taratibu hizi na wala hawezi kutoa maamuzi yeye binafsi bila ya ripoti ya vyombo vya uchunguzi vinavyowachunguza vigogo na watu wanaotuhuniwa na kashfa ya ESCROW, vile vile mkumbuke pia IPTL imefungua kesi kuzuia maagizo ya bunge kuhusu wahusika wa ESCROW yasitekelezwe.
NCHI YETU INA MAMBO MENGI MUHIMU YA KUZUNGUMZIA UKIACHA SAKATA LA ESCROW, HEBU WATANZANIA TUTUMIE MUDA MWINGI KUFIKIRIA MAMBO MENGINE. TUMUACHE RAIS AFANYE KAZI YAKE, TUSILAZIMISHE AFUATE AKILI ZETU.
Tanzania ni nchi inayofuata utawala wa sheria. Kuna taratibu za kuongoza nchi. Mheshimiwa rais atasimamia taratibu hizi na wala hawezi kutoa maamuzi yeye binafsi bila ya ripoti ya vyombo vya uchunguzi vinavyowachunguza vigogo na watu wanaotuhuniwa na kashfa ya ESCROW, vile vile mkumbuke pia IPTL imefungua kesi kuzuia maagizo ya bunge kuhusu wahusika wa ESCROW yasitekelezwe.
NCHI YETU INA MAMBO MENGI MUHIMU YA KUZUNGUMZIA UKIACHA SAKATA LA ESCROW, HEBU WATANZANIA TUTUMIE MUDA MWINGI KUFIKIRIA MAMBO MENGINE. TUMUACHE RAIS AFANYE KAZI YAKE, TUSILAZIMISHE AFUATE AKILI ZETU.