Masonjo
Naona umeamua kututapisha wakati wa kula hapa, Hebu tutolee hizo picha zilizojaa ma.vu.zi na chupi zenye mrundikano wa chawa na kunguni kwa wakati mmoja.!! Watu wenyewe inaonekana wana aleji na Maji, Sabuni pamoja Dodoki..!!
BACK TANGANYIKA
Lipumba akiungana na ACT basi atazoa kura nyingi sana Kigoma, aangalie uwezekano huo!