Mkutano wa Prof. Lipumba Kigoma Mjini

Mkutano wa Prof. Lipumba Kigoma Mjini

Mkwala

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2014
Posts
1,178
Reaction score
1,274
Kiongozi wa chama cha CUF ambaye ni Mwenyekiti mwenza wa UKAWA anafanya mkutano Kigoma mjini lakini katika hali ya unyonge mkubwa kama vile hayupo UKAWA maana mahudhurio ni hafifu kweli.Nimegundua CHADEMA huwa wanatumia kigezo cha UKAWA kujaza nyomi ila Prof.Lipumba anadhalilika kwa kukosa wahudhuriaji.
 
We mpuuzi kweli kaenda huko kwa jina cuf au ukawa? Inaonyesha kigoma hakuna wafuasi wa cuf
 
Hizi ndo takataka tunazozikataa hapa ndani.

Sasa kama Chadema hutumia kigezo cha UKAWA kujaza nyomi Lipumba anatumia kigezo gani kwa akili yako? Au unataka kutuambia Lipumba kafukuzwa UKAWA?

Akili zako zinakutosha mwenyewe na mkeo!.

BACK TANGANYIKA
 
Hizi ndo takataka tunazozikataa hapa ndani.

Sasa kama Chadema hutumia kigezo cha UKAWA kujaza nyomi Lipumba anatumia kigezo gani kwa akili yako? Au unataka kutuambia Lipumba kafukuzwa UKAWA?

Akili zako zinakutosha mwenyewe na mkeo!.

BACK TANGANYIKA

Amechoka hata hivyo kagombea Mara nyingi sana alipaswa kupumzika
 
Basi nadhani CUF haina wanachama upande wa Kigoma.Kumbe amekuja kama CUF siyo Mwenyekiti mwenza haikuwa na haja ya kuleta ukali.
 
Kwani umeambiwa amekatazwa kutumia Nembo ya ukawa? Shirikisha akiri yako ndugu!!!!
 
Uzi wako umekaa kichochezi sana, umekosa hadhi naondoka kwa heriiiii!!
 
Hizi ndo takataka tunazozikataa hapa ndani.

Sasa kama Chadema hutumia kigezo cha UKAWA kujaza nyomi Lipumba anatumia kigezo gani kwa akili yako? Au unataka kutuambia Lipumba kafukuzwa UKAWA?

Akili zako zinakutosha mwenyewe na mkeo!.

BACK TANGANYIKA

Kwa akili hizo unafikiri huyo kaoa? huyo kaolewa ndio maana ana akili za kushikiwa.
 
weka picha
DSC_0432.JPG
 
Masonjo

Naona umeamua kututapisha wakati wa kula hapa, Hebu tutolee hizo picha zilizojaa ma.vu.zi na chupi zenye mrundikano wa chawa na kunguni kwa wakati mmoja.!! Watu wenyewe inaonekana wana aleji na Maji, Sabuni pamoja Dodoki..!!

BACK TANGANYIKA
 
sishangai kusikia ivo na hata yeye anafaham kuwa kg ni ngome ya chama kipya km ilivo kwa cuf zenj; hapa wanaoumia zaid katika hili n nccr na ndio maana wanahaha kwan ndan ya umoja huo hawategemei kupata manufaa yoyote zaid ya ku-loose. Na mbatia anapata wakat mgumu kuwaeleza wanachama japo yeye anafaham kuwa kunauwezekano wa kurud mjengon
 
Hizi ndo takataka tunazozikataa hapa ndani.

Sasa kama Chadema hutumia kigezo cha UKAWA kujaza nyomi Lipumba anatumia kigezo gani kwa akili yako? Au unataka kutuambia Lipumba kafukuzwa UKAWA?

Akili zako zinakutosha mwenyewe na mkeo!.

BACK TANGANYIKA
Kamanda mbona umepanic ghafla.
 
Back
Top Bottom