Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

Wewe kilaza lowasa ni chaguo la watanzania na ccm haitakiwi Tanzania mzima

Tokea mwaka 1995 huku pemba ccm haina hata jimbo moja,bado hamjachelewa kuikataa ccm muda wa mabadiliko ni sasa.
 
Tokea mwaka 1995 huku pemba ccm haina hata jimbo moja,bado hamjachelewa kuikataa ccm muda wa mabadiliko ni sasa.

Mkuu tumeshajiandaa kabisa kuwafuta ccm kabisa
 
Hatujapagawa nyie arusha ukabila tu mtampigia huyo ndugu yenu lowasa kumbukeni tanzania ina mikoa 27 kwani hatulitambui hilo mtajibeba hatuna shida na arusha yenu

Hata huku Mwanza tutampigia Lowasa
 
Back
Top Bottom