Mianamke ..? Hivi ww ulizaliwa au, na km ulizaliwa ulipitia tigo pesa ??
Eti mijizi, km alikuwa jizi alikuwa sirikali gani, na huyo aliyemshika mkono na kumpigia kampeni kuwa huyu ni jemadari nae ni jizi au ???
Eti mijizi, km alikuwa jizi alikuwa sirikali gani, na huyo aliyemshika mkono na kumpigia kampeni kuwa huyu ni jemadari nae ni jizi au ???
iio
Acheni umbea kama mianamke, kura hazipatikani kwa kudanganyana kwenye mitandao, yule mama kwa watu aliopata tena kwenye ngome inayoitwa ya ukawia huwezi dharau hata hilo Duni likienda mikoani lenyewe halipati hata robo ya watu aliopata yule mama pale usa, ombeni clips siyo mnadanganyana tu. Sijategemea vijana ambao wanaonekana kupata elimu lakini wanadanganyika kwa vitu vidogo, mijizi leo inasifiwa kwa kisingizio eti mfumo na kila jitu linaitikia kwa kushangilia kabisa kama mizuzu mfumo mfumo...duu nchi kama imelaaniwa!