Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

gogo la shamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
6,669
Reaction score
2,165
Nilisikia tetesi kwamba,mgombea mwenza wa ccm atakuwa na mkutano wa kampeni leo Arusha mwenye habari na picha atutupie
 
mkuu sina picha ila nilipita pale kilombero hali ilikuwa inaskitisha sana,yani nilimuhurumia sana yule mama
 
Nilisikia tetesi kwamba,mgombea mwenza wa ccm atakuwa na mkutano wa kampeni leo Arusha mwenye habari na picha atutupie

cjabahatika kupata picha ila Samia leo alikuwa kwnye viwanja vya ngarasero Usa River akinadi sera zake,hakukuwa na watu kwakwel zaid waliokuwepo walikuja na magari cjui walitoka wapi ndo hayo tu mkuu
 
Nilisikia tetesi kwamba,mgombea mwenza wa ccm atakuwa na mkutano wa kampeni leo Arusha mwenye habari na picha atutupie


Haha pale USA-RIVER aliahirisha mkutano haukua na watu kabisa halafu CCM wLikua wakitangaza watu waende ati watapewa bodaboda!!!
 
cjabahatika kupata picha ila Samia leo alikuwa kwnye viwanja vya ngarasero Usa River akinadi sera zake,hakukuwa na watu kwakwel zaid waliokuwepo walikuja na magari cjui walitoka wapi ndo hayo tu mkuu

Mafuriko ngarasero
 

Attachments

  • 1440705908212.jpg
    1440705908212.jpg
    46.7 KB · Views: 1,779
kwahapa usa river walipanga kufanyasa6 lakini mpaka saa8 ndio walianza kwani walikwepo hawana watu walileta watu na hice mara 8 coster mbili kila toyo lita5 zamafuta lakini mengi yalikwepo magari ya msafara
 
ccm kwisha Arusha magari yalikuwa mengi kuliko watu
 
ccm kwisha Arusha magari yalikuwa mengi kuliko watu

Kule kwetu kuna masemo: KASEGASEGA NA KALILALILA, yaani he who laughs best lT 2who laughs last. Sisi kule kwetu huwa tunaheshimu wanawake. Hizi khejeli zitajawatokea puani watch this space. WM
 
watuwalioletwa na coster usa river walitoka elerai na maeneomengine bada ya mgombea kupanda jukwaani watu wa coster waliondoka kwani walikuja kujaza uwanja hatarobo hajafika baada ya mgombea kupanda jukwaani coster ziliondoka
 
Kule kwetu kuna masemo: KASEGASEGA NA KALILALILA, yaani he who laughs best lT 2who laughs last. Sisi kule kwetu huwa tunaheshimu wanawake. Hizi khejeli zitajawatokea puani watch this space. WM

Toa upuuzi wako hapa,suala sio mwanamke bali CCM na mkutano wao wa kampeni."shule mlienda kusomea ujing"=faiza foxy
 
Hivi sheria inasemaje kama kwa wakati huu mgombea akiona upepo sio kabisa na kuliko kupoteza muda na nguvu zake anajitoa?
 
watuwalioletwa na coster usa river walitoka elerai na maeneomengine bada ya mgombea kupanda jukwaani watu wa coster waliondoka kwani walikuja kujaza uwanja hatarobo hajafika baada ya mgombea kupanda jukwaani coster ziliondoka
iio
Acheni umbea kama mianamke, kura hazipatikani kwa kudanganyana kwenye mitandao, yule mama kwa watu aliopata tena kwenye ngome inayoitwa ya ukawia huwezi dharau hata hilo Duni likienda mikoani lenyewe halipati hata robo ya watu aliopata yule mama pale usa, ombeni clips siyo mnadanganyana tu. Sijategemea vijana ambao wanaonekana kupata elimu lakini wanadanganyika kwa vitu vidogo, mijizi leo inasifiwa kwa kisingizio eti mfumo na kila jitu linaitikia kwa kushangilia kabisa kama mizuzu mfumo mfumo...duu nchi kama imelaaniwa!
 
Toa upuuzi wako hapa,suala sio mwanamke bali CCM na mkutano wao wa kampeni."shule mlienda kusomea ujing"=faiza foxy

Ndio maana mzee aliwaita w.......u! Kama huna point kaa kimya siyo kutoa kinyesi kupitia mdomoni
 
Nilikuwepo kwenye mkutano usa river kwa kweli hali iliyokuwepo hadi inatia huruma kwa chama tawala
 
iio
Acheni umbea kama mianamke, kura hazipatikani kwa kudanganyana kwenye mitandao, yule mama kwa watu aliopata tena kwenye ngome inayoitwa ya ukawia huwezi dharau hata hilo Duni likienda mikoani lenyewe halipati hata robo ya watu aliopata yule mama pale usa, ombeni clips siyo mnadanganyana tu. Sijategemea vijana ambao wanaonekana kupata elimu lakini wanadanganyika kwa vitu vidogo, mijizi leo inasifiwa kwa kisingizio eti mfumo na kila jitu linaitikia kwa kushangilia kabisa kama mizuzu mfumo mfumo...duu nchi kama imelaaniwa!

Huu mgao arusha unaisha lini mbona unatoka mapovu kwa vitu ambavyo havina msingi.
 
Back
Top Bottom