Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,814
- 284,943
Ukihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe.
Katika Mkutano huo Mbowe amesisitiza kwamba muda wa kuing'oa ccm Madarakani ni sasa na wala hakutakuwa na Dk za Nyongeza, Hii ni kwasababu dhiki za nchi hii hazikuletwa na Mungu, zimeletwa na CCM, na ifike mahali tuseme basi.
Katika Mkutano huo Mbowe amesisitiza kwamba muda wa kuing'oa ccm Madarakani ni sasa na wala hakutakuwa na Dk za Nyongeza, Hii ni kwasababu dhiki za nchi hii hazikuletwa na Mungu, zimeletwa na CCM, na ifike mahali tuseme basi.