Dakika chache kabla ya Helkopta kutokea uwanjani kulikuwa na watu si zaidi ya kumi.
Baadaye Helkopta ilipofika watu wakaongezeka kiasi na mkutano kuanza.
Wasemaji walikuwa ni Devotha Minja na Salum Mwalimu ambaye muda mwingi alitumia kuelezea siasa ya CUF ya Maalim seif.
Kama kawaida aliishutumu Kampeni ya No Reforms No Election!
View attachment 3409009
Hapa Salum Mwalimu akihutubia na Hawa ndiyo waliohuduria.