Mkutano wa CHADEMA Wadoda ile mbaya

Mkutano wa CHADEMA Wadoda ile mbaya

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
11990462_1643422415939916_1187083088395826064_n.jpg
 
sema ni wapi kaa ni kwenye kitongoji hao watu ni wengi sana
 


Pata siri ambazo huwezi kuzisikia kutoka UKAWA


Umeuza utu kwa pesa..unawaza tumbo lako tu bila kufikiria maslahi mapana ya familia yako(kama unayo,),wazazi,ndugu zako na hata watoto wako..!Pesa isikufanye mjinga hivyo.
Ntaichek video yako japo najua itakua ni kwa ajili ya upuuzi wa ccm unaonufaisha watu wachache wasio hata na mchango kwa taifa kama Mr Chin
 
Last edited by a moderator:
Umeuza utu kwa pesa..unawaza tumbo lako tu bila kufikiria maslahi mapana ya familia yako(kama unayo,),wazazi,ndugu zako na hata watoto wako..!Pesa isikufanye mjinga hivyo.
Ntaichek video yako japo najua itakua ni kwa ajili ya upuuzi wa ccm unaonufaisha watu wachache wasio hata na mchango kwa taifa kama Mr Chin

Ata husisumbuke kuifungua hiyo video ni vitoto vya chipukizi vimeshikishwa bendera ya Ccm na vinaimbishwa nyimbo za Ccm,mwaka huu Ccm wamebanwa kila kona,Tezi D naye kila siku anabadilisha wasimamizi wa tume ya uchaguzi (NEC).CCM OUT.
 
Last edited by a moderator:
Iinaonekana anaongea na watu mbele yake ambao hujataka kuwaonyesha ili utimize azma yako ya kudanganya. Kuwa makini unapotunga uongo.
 
Picha imepigwa uelekeo wa nyuma ya jukwaa, Kwa akili yako unadhani atakuwa anawahutubiwa watu akiwa kawategea mgongo? Poropoganda nyingine hazina mashiko.
 
Watu wamejaa hadi nyuma,ila umeona aibu kuchukua picha kwa mbele sababu wamejaa kuliko kawaida na hicho ni kitongoji tu.

Inaonekana vya mbele hauviwezi umezoea vya nyuma
 


Pata siri ambazo huwezi kuzisikia kutoka UKAWA


Acha unafiki uchoandika na video ni vitu viwili tofauti.Mimi nilikuwepo Chato hakuna kitu kama hicho kilitokea.Lowasa alipokewa kishujaa sanaa.
 
Last edited by a moderator:
....ccm washalegea bhahahaaaaaa....
 
Hili jamaa jinger kweli, kwa hiyo inamaana huyo mgombea ana macho kwenye makalio hadi ahutubie mbele halafu umati upo nyuma?
 
Back
Top Bottom