Mkutano wa CHADEMA Songea Mjini Wafana

Mkutano wa CHADEMA Songea Mjini Wafana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,433
Reaction score
283,714
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) kimeingia Mjini Songea na kufanya Mkutano Mkubwa wa hadhara uliohudhuriwa na mamia ya wananchi .

Chama hicho kilitumia fursa hiyo kutoa elimu kuhusu Umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi , ambapo kilisisitiza kwamba mambo haya ndio Chimbuko la Utawala bora .

Habari kamili hii hapa .

FB_IMG_1680553375097.jpg
FB_IMG_1680553381451.jpg
FB_IMG_1680553388966.jpg
FB_IMG_1680553418272.jpg
 
Chama chakavu taarifa za mkutano kimkoa zina fika jf usiku wa manane.

USSR
 
Chama chakavu taarifa za mkutano kimkoa zina fika jf usiku wa manane.

USSR
Kama ni chama chakavu mbona kila uchaguzi CCM inaiba kura na kutumia vyombo vya Dola?.
Muache ushamba nyie watanzania mnaonufaika na ujinga wa watu wachache.
Mfano watu wameiba pesa za umma, CCM imewafanya nini.
Wezi hao ni wanaCCM kama wewe.
"Don't like foolishness, just show it rarely". Somebody said.
 
Kama ni chama chakavu mbona kila uchaguzi CCM inaiba kura na kutumia vyombo vya Dola?.
Muache ushamba nyie watanzania mnaonufaika na ujinga wa watu wachache.
Mfano watu wameiba pesa za umma, CCM imewafanya nini.
Wezi hao ni wanaCCM kama wewe.
"Don't like foolishness, just show it rarely". Somebody said.
akijibu nistue
 
Back
Top Bottom