S2dak_Jr
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 198
- 45
Wanajamvi,
Jana kulikuwa na Mkutano wa CDM eneo la Kiomboi, Iramba. Bahati mbaya sikupata muda kufika hapo.
Leo Makamanda wapo Misigiri na nipo hapa tangu asubuhi ili niwaletee kila kinachotokea hapa.
Sasa naona FFU wanaranda mitaani. Nadhani kuna makubwa yatatokea hapa. Tusubiri, it's a matter of time. Ila hali ni tulivu.
Kamanda Dr. Kitila atakuwepo na Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar.
Stay tuned!
Update:
Kwa sasa Makamnda wanafanya Mkutano eneo la Ulemo. Mida ya saa tisa hivi watakuwa hapa Misigiri.
Jana kulikuwa na Mkutano wa CDM eneo la Kiomboi, Iramba. Bahati mbaya sikupata muda kufika hapo.
Leo Makamanda wapo Misigiri na nipo hapa tangu asubuhi ili niwaletee kila kinachotokea hapa.
Sasa naona FFU wanaranda mitaani. Nadhani kuna makubwa yatatokea hapa. Tusubiri, it's a matter of time. Ila hali ni tulivu.
Kamanda Dr. Kitila atakuwepo na Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar.
Stay tuned!
Update:
Kwa sasa Makamnda wanafanya Mkutano eneo la Ulemo. Mida ya saa tisa hivi watakuwa hapa Misigiri.