Mbowe yupo Mbeya kukusanya maoni ya katiba mpya. Hivi sasa jukwaani yupo lisu anasema kama Dsm wangefanya japo nusu ya waliyo fanya watu wa MBEYA basi nchi hii ingekuwa mbali sana.
hoja ya serikali 3 ni ya muda mrefu sana waasisi wake si Chadema kwa mara ya kwanza ilizimwa mwaka 1984
kimsingi Chadema inaunga mkono haya;
1. Serikali 3
2. Rais kupunguziwa madaraka
3. Wabunge kufukuzwa wanaposhindwa kutimiza wajibu wao
mjomba , zaidi ya nusu ya watanzania ni wanachama wa cdm , umebaki wewe na Hamidu tu , hata hivyo sababu za nyie kubakia huko zinafahamika , tunawatarajia siku za baadaye hasa mkishakamaliza hako ka programu kenu .