Mkuu tunaomba uweke picha mkuu!
Mkuu mkutano unafanyikia viwanja gani?
Bahati mbaya JF mobile Edition huwezi ku-upload picha[ JITAHIDI MKUU U CAN UPLOAD VIA MOBILE
Maskini akili yako inapaswa kupigwa deki kwa jik kwa hiyo CCM ndio watawale milele duh nchii kuna wehu wengi demokrasia kwenu ni sawe na maweSiku matazamio yenu kwa cdm yatakapokuwa tofauti cjui mtaimba wimbo gani hicho chama. Me nachojua ktk siasa ni maslahi tu km alivowahi kusema aliekuwa pm wa UK Margareth Thatcher,kwmb ktk siasa hakuna rafiki bali ni maslahi tu ya hao viongozi na kundi lao la wachache wanaonuniwa kutawala.usitegemee umaskini wako utamalizwa kwa cdm kushika dola,fanya kazi kwa juhudi
Aisee tuko wengi, wengi, wengi mno!
Viva CHADEMA.
Chama la Ukweli Tz Nzima.
CC: chama gongo la mboto.
Bahati mbaya JF mobile Edition huwezi ku-upload picha
Siku matazamio yenu kwa cdm yatakapokuwa tofauti cjui mtaimba wimbo gani hicho chama. Me nachojua ktk siasa ni maslahi tu km alivowahi kusema aliekuwa pm wa UK Margareth Thatcher,kwmb ktk siasa hakuna rafiki bali ni maslahi tu ya hao viongozi na kundi lao la wachache wanaonuniwa kutawala.usitegemee umaskini wako utamalizwa kwa cdm kushika dola,fanya kazi kwa juhudi