Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
kutoka Butiama kwa baba wa taifa mkutano wa Chadema ukiendelea viongozi mbali mbali wakiwa jukuwana kuongea na wanainchi Chadema mwendo ni ule ule hakuna kulala mpaka. Mod Nakuomba Usiunge Habari hii na Habari nyingine
Mkutano wa hadhara uliofanywa jana katika kijiji cha bumangi wilaya ya butiama ulikuwa unaongozwa na mbunge wa musoma mjini mhe vincent nyerere,mwenyekiti wa chadema mkoa wa mara mhe kayere pamoja na makamanda waandimizi kutoka musoma.Wakazi hao wa kijiji cha butiama kwa sasa wamegoma kuwa jiwe la msingi la ccm,wamesema ccm ya mwalimu nyerere haikuwa inamtukana Jaji Warioba,Mzee Butiku wala Salim bali ilijikita zaidi kujenga umoja na kuwaletea wananchi maendeleo hivyo wameamua kuikaribisha chadema katika kijiji hicho na wamesema kwa sasa chadema ndiyo ina matumaini ya kulijenga taifa kama ilivyokuwa ccm ya mwalimu nyerere na si hii ya sasa.Team chadema twende kazi