C Chifu Nsyepa Senior Member Jul 9, 2016 106 98 Jul 19, 2016 Thread starter #21 Abunuas said: hivi unawajua ccm wewe au unawasikia tu? kaa mbali kwa usalama wako. Click to expand... Nawajua, si ndio kile chama kilichoifikisha nchi hapa ilipo kwa ulafi wa mali za umma?
Abunuas said: hivi unawajua ccm wewe au unawasikia tu? kaa mbali kwa usalama wako. Click to expand... Nawajua, si ndio kile chama kilichoifikisha nchi hapa ilipo kwa ulafi wa mali za umma?
kirengased JF-Expert Member Jan 10, 2016 6,005 6,665 Jul 19, 2016 #22 Rais keshasema hataki kucheleweshwa!! Hamuelewi??? Naham kumzaba mbata bavicha mmoja mwenye kiherehere! Paah mpaka apepesuke,njoeni tu na siasa uchwara
Rais keshasema hataki kucheleweshwa!! Hamuelewi??? Naham kumzaba mbata bavicha mmoja mwenye kiherehere! Paah mpaka apepesuke,njoeni tu na siasa uchwara
N nicetas JF-Expert Member May 29, 2012 329 181 Jul 19, 2016 #23 Mbona nasikia kamanda wao mkuu kazuia vijana wake wasizuie mkutano wa CCM
Gangongine JF-Expert Member Dec 31, 2015 3,854 1,776 Jul 19, 2016 #24 Ti Go said: Jeshi la police linajishushia heshima kwa kutoa kauli zenye utata, double standard. ni woga na wala sio upendeleo kwa ccm Click to expand... Tumia akili japo kidogo! Yaani ulinganishe Chama Tawala na Vyama vidogo hivi? Acha utani ndugu tangu!
Ti Go said: Jeshi la police linajishushia heshima kwa kutoa kauli zenye utata, double standard. ni woga na wala sio upendeleo kwa ccm Click to expand... Tumia akili japo kidogo! Yaani ulinganishe Chama Tawala na Vyama vidogo hivi? Acha utani ndugu tangu!
engine rock JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,263 1,106 Jul 19, 2016 #25 Gangongine said: Tumia akili japo kidogo! Yaani ulinganishe Chama Tawala na Vyama vidogo hivi? Acha utani ndugu tangu! Click to expand... Sheria haiangalii chama tawala na vyama vidogo ....vyote vipo sawa kisheria.
Gangongine said: Tumia akili japo kidogo! Yaani ulinganishe Chama Tawala na Vyama vidogo hivi? Acha utani ndugu tangu! Click to expand... Sheria haiangalii chama tawala na vyama vidogo ....vyote vipo sawa kisheria.