Mkutano wa ACT - Wazalendo viwanja vya Furahisha Mwanza

Hakuna chama kinaweza kujengwa kwa miezi mitatu, ukategemea kifanye miujiza. Naona mnajifariji
 
Hakuna chama kinaweza kujengwa kwa miezi mitatu, ukategemea kifanye miujiza. Naona mnajifariji

sawa tu,lakini haina maana kwamba ndo wakate tamaa na kulala,kama watapata hata wabunge kumi hiyo ni hatua,
mbona mpaka sasa wana viongozi wa mitaa?
step by step,ngazi kwa ngazi
 
Wewe ni muha wa wapi, kalinzi?? Act ni zito, act ni ya waha, kama si muha hatukutambui act...

Ndugu ivi na wewe ni mchaga wa wapi au shobo tu kwa wachaga kama vipi we mshabikie wa kwenu tu ata kama ccm mi mbona nipo na Rais wangu Membe bega kwa bega.
 
sawa tu,lakini haina maana kwamba ndo wakate tamaa na kulala,kama watapata hata wabunge kumi hiyo ni hatua,
mbona mpaka sasa wana viongozi wa mitaa?
step by step,ngazi kwa ngazi

Mkuu we subilia uchaguzi watajionea wenyewe act sio nguvu ya soda ile tumechoshwa na sera mavi mavi sasa ni uzalendo tu uwe ccm,cuf,nccr,chadema
 
Hakuna chama kinaweza kujengwa kwa miezi mitatu, ukategemea kifanye miujiza. Naona mnajifariji
Hayo umeyasema wewe wanachofanya ACT - Wazalendo ni kuwajenga watanzania uzalendo taratibu hawana haraka sema watanzania ndiyo wameipokea ACT-Wazalendo haraka mno.
 
Kama wewe hutokei bitare, mwandiga, kigoma ujiji, au nyarubanda basi huna chako act, act ni zitto. Act ni waha tu.. Sasa wewe kama si muha imekula kwako, mjamaa ana hammer wewe hata baiskeli huna... Alishakusihi usimuamini mwanasiasa... Wewe jitoe ufahamu tu .....

Vipi mwaka huu mshasambaza waraka makanisani tena kuelekea uchaguzi mkuu? Tuwapige bao la kisigino kama 2010 na mzee wetu kikwete.
 
sawa tu,lakini haina maana kwamba ndo wakate tamaa na kulala,kama watapata hata wabunge kumi hiyo ni hatua,
mbona mpaka sasa wana viongozi wa mitaa?
step by step,ngazi kwa ngazi

Jitahid kuwaelimisha japo vichwa vyao ngum sana
 
sawa tu,lakini haina maana kwamba ndo wakate tamaa na kulala,kama watapata hata wabunge kumi hiyo ni hatua,
mbona mpaka sasa wana viongozi wa mitaa?
step by step,ngazi kwa ngazi

Muulize mwenyekiti muha
 
Back
Top Bottom